NHIF YAPONGEZWA KULIPA MADAI KWA WAKATI
Na Grace Michael, Dodoma
Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF), umepongezwa kwa mapinduzi chanya ya kihuduma ambapo kwa sasa inalipa madai kwa Watoa huduma kwa wakati ikilinganishwa na hapo awali.
Mbali na ulipaji wa ma...